Mkuu wa Idara: Dr. Modest Buchard
Halmashauri ya wilaya ya Geita imedhamiria kutoa huduma bora za afya kujenga maisha bora kwa watu ili kuimarisha wanajamii kuwa na afya bora katika kuendeleza na kujenga uchumi imara unaohimili ushindani na kutoa maamuzi kwa misingi ya utawala bora ili kupunguza umasikini.
Vituo vya kutolea huduma za Afya na Umiliki wake;
Halmashauri ya wilaya ya Geita ina jumla ya vituo 48 vinavyotoa huduma za afya ikiwa ni Vtuo 5 vya afya na Zahanati 43.
Mchanganuo wa Vituo hivyo pamoja na umiliki wake ni kama ifuatavyo:-
Vituo vya afya 5 vinamilikiwa na Serikali. Zahanati 34 zinamilikiwa na Halmashauri,zahanati 3 zinamilikiwa na watu binafsi, zahanati 4 zinamilikiwa na Mashirika ya Umma na zahanati 2 zinamilikwa na Taasisi za Umama(Magereza na Hifadhi ya Rubondo).
Idadi ya watumishi kulingana na kada
SN
|
KADA
|
IDADI
|
1.
|
Daktari
|
7
|
2.
|
Katibu wa afya
|
3
|
3.
|
Famasia
|
1
|
4.
|
Daktari wasaidizi
|
4
|
5.
|
Daktari wa meno msaidizi
|
1
|
6.
|
Daktari wa macho msaidizi
|
1
|
7.
|
Mteknolojia meno
|
5
|
8.
|
Afiasa Tabibu
|
33
|
9.
|
Tabibu msaidizi
|
7
|
10.
|
Afisa Muuguzi
|
0
|
11.
|
Afisa Muuguzi Msaidizi
|
42
|
12.
|
Wauguzi
|
105
|
13.
|
Mteknologia Madawa
|
3
|
14.
|
Mteknolojia Maabara
|
3
|
15.
|
Mteknolojia Msaidizi Madawa
|
0
|
16.
|
Mteknolojia Msaidizi Maabara
|
19
|
17.
|
Mazoezi ya viungo
|
0
|
18.
|
Mteknolojia wa macho
|
0
|
19
|
Afisa usatawi wa jamii
|
3
|
20
|
Afisa afya mazingira
|
4
|
21
|
Afisa afya mazingira wasaidizi
|
18
|
22
|
Wasaidizi wa afya
|
3
|
23
|
Wahudumu wa afya
|
50
|
24
|
Afisa lishe
|
1
|
|
JUMLA
|
313
|
Mambo muhimu yanayozingatiwa katika utoaji wa huduma;
Idara ya afya inazingatia mambo makuu yafuatayo katika utoaji wa huduma kwa umma:-
Kuweka viwango vya huduma:
Kuwa wazi na kutoa habari
Ushauri na ushirikishwaji
Kuhimiza upatikanaji na kutangaza ubora wa huduma
Usawa kwa wote
Ufuatiliaji na urekebishaji
Matumizi bora ya rasilimali
Uvumbuzi na uboreshaji
Kushirikiana na watoa huduma wengine
Majukumu mengine muhimu;
Dharura na Majanga
Ukaguzi wa Maduka ya Madawa, vituo vya tiba binafsi na maabara.
Ufuatiliaji wa leseni ya maeneo yanayotoa
Ukaguzi wa maeneo ya kuuzia vyakula
Uchangiaji wa ada za masomo
Mahitaji ya dharura wakati wa milipuko ya magonjwa
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita
Simu: +225 282520061
Mobile:
Barua pepe: info@geitadc.go.tz
Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa