Mkuu wa Idara: FURAHA P.CHIWILE
Idara ya Maendeleo ya Jamii ni “MTAMBUKA” ikihusisha sekta ya Maendeleo ya Jamii katika Nyanja za Kijamii, Kiuchumi,Kiutamaduni na hata Utawala bora. Lengo ni kuhakikisha Jamii inashiriki kikamilifu katika Kubuni, Kupanga,kutekeleza,kusimamia , na kufuatilia katika upatikanaji wa huduma za msingi za kiuchumi na kijamii katika maeneo yao.
Majukumu ya Msingi ya Idara;
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita
Simu: +225 282520061
Mobile:
Barua pepe: info@geitadc.go.tz
Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa