• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Kata ya Katoro



UTEKELEZAJI WA MIRADI YAMAENDELEO  ROBO YA TATU

 

Na
SEKTA
JINA LA MRADI
CHANZO CHA MRADI
KIASI CHA MAPATO
FEDHA TUMIKA
BAKI
HATUA YA UTEKELEZAJI
1.
ELIMU
UJENZI WA VYUMBA 2 VYA MADARASA MTAKUJA
WANANCHI
NGUVU ZA WANANCHI MAWE, MCHANGO 640,000/=
618,000/=
22,000/=
MSINGI UNAENDELEA
2.
ELIMU
UJENZI WA VYUMBA 2 VYA MADARASA KITONGOJI CHA MTONI
WANANCHI
NGUVU ZA WANANCHI MAWE, TOFARI TSH  702,000/=
684,000/=
18,000/=
BOMA LIMEFIKIA USAWA WA MADIRISHA
3.
ELIMU
UJENZI WA VYUMBA 4 VYA MADARASA NYIHUMBA
WANANCHI
NGUVU ZA WANANCHI MAWE, MCHANGA TSH 316,000
316,000/=
-
MSINGI UNAENDELEA KUJENGWA
4.
ELIMU
UJENZI WA VYUMBA 3 VYA MADARASA NA VYOO MATUNDU 4 MCHONGOMANI
WANANCHI
MAWE, MCAHNGA 906,000/=
883,000/=
23,000/=
MSINGI UMEKAMLIKA
5.
ELIMU
UJENZI WA VYUMBA 2 VYA MADARASA NA OFSI 1 MTONI S/MSINGI
CAPITATION (UKARABATI)
1,550,000/=
-
-
MSINGI UMEKAMIKA
6.
AFYA
UJENZI WA WODI 2 KITUO CHA AFYA KATORO
WADAU
13,835,000/=
13,835,000/=
-
BOMA LIMEKAMILIKA
FEDHA YA MH. RAIS
20,000,000/=
18,710,000/=
1,290,000/=
H/WILAYA
10,000,000/=
-
10,000,000/=

         

 CHANGAMOTO

SEKTA YA AFYA

  • Ukosefu wa Wodi 5 za kulaza wagonjwa wanaume, wanawake na watoto
  • Jengo la Upasuaji
  • Ukosefu wa uzio kuzunguka eneo la kituo cha Afya
  • Ukosefu  wa fedha ya ukamilishaji wa Bwalo Katoro Sekondari ambalo limesimama miaka saba hadi leo
  • Ukosefu wa fedha za ukamilishaji wa jengo la utawala sekondari ya Lutozo

SEKTA YA ELIMU

  • Upungufu wa vyumba vya madarasa elimu msingi na Sekondari .
  • Upungufu wa nyumba za walimu Elimu msingi  na Sekondari.
  • Upungufu wa matundu ya vyoo shule za msingi na Sekondari
  • Ukosefu wa fedha ya ukamilishaji wa Bwalo  Katoro Sekondari ambalo limesimama miaka saba  hadi leo

SEKTA YA UTAWALA

  • Ukarabati  wa Majengo ya ofisi ya Kata na ukumbi

SEKTA YA MIUNDOMBINU

  • Ubovu wa miundo mbinu ya barabara zinazounganisha vitongoji vya  Kata ya  Katoro.
  • Ukosefu wa  umeme vitongoji  vya Bulengahasi , Mtakuja ,Kaduda , Ibozyamagigo hasa haujaenea vitongoji vyote Ingawa jitihada zinaendelea Kufanywa na TANESCO kusambaza nguzo za umeme.

MIPANGO ILIYOPO

  • Kuendeleza ujenzi wa vyumba  vya madarasa matundu ya vyoo shule za msingi  na Sekondari.
  • Kuendeleza ujenzi wa shule mpya za msingi Mtoni , Mtakuja , Nyihumba,Ibozyamagigo na Mchongomani.
  • Kujenga Wodi za wagonjwa Kituo  cha afya Katoro .
  • Kuendeleza ujenzi wa jengo la upasuaji kituo cha afya.
  • Kuendeleza ujenzi wa Zahanati Kaduda.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. June 05, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. WASIRA: AJENDA YA SERIKALI NI KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI.

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAPATA HATI SAFI, MHE. FATMA APONGEZA USIMAMIZI WA FEDHA ZA UMMA.

    June 13, 2025
  • UFUATILIAJI WAHIMIZWA KWENYE USIMAMIZI WA MIRADI WILAYA YA GEITA

    June 12, 2025
  • MKURUGENZI ASISITIZA HATUA KUCHUKULIWA KUDHIBITI UTORO SHULENI.

    June 05, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa