• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Ardhi na Maliasili

Mkuu wa Idara: Faraja Kaluwa

Utangulizi

Idara ya Ardhi na Maliasili ni Idara inayoundwa na vitengo vikuu viwili ambavyo ni kitengo cha Ardhi na Kitengo cha Maliasili. Kitengo cha Ardhi kinaundwa na vitengo 4 vya Uthamini, Upimaji, Mipango miji, Utawala na umilikishaji ardhi. Maliasili inavyo vitengo 3 vya misitu, Nyuki na Wanyamapori .

Kitengo cha Ardhi kinasimamia uendelezaji wa makazi mijini na upangaji wa matumizi endelevu ya ardhi vijijini. Miji midogo inayosimamiwa uendelezaji wake ni Mamlaka ya mji mdogo wa Katoro, Nkome, na Nyarugusu.

Kitengo cha maliasili husimamia hifadhi endelevu ya raslimali za misitu na wanyamapori. Halmashauri ya Wilaya ya Geita inamilki Msitu mmoja wa hifadhi wa Ruande wenye ukubwa wa hekta 15,550. Misitu ya kupandwa ina ukubwa wa hekta 1,585.8

Msitu wa Geita wenye ukubwa wa hekta 47,700 na Rwamgasa hekta15,550 inamilkiwa na serikali kuu.Misitu yote inazungukwa na vijiji.Halmashauri ya Wilaya ina vikundi 17 vya wafugaji Nyuki.

Majukumu ya Msingi ya Idara ya ardhi na Maliasili

  • Kusimamia utayarishaji wa mipango ya matumizi bora ya Ardhi katika vijiji vyote 146 ili kuhakikisha kila Kijiji kinakuwa na mipaka inayotambulika kisheria na kuwa na matumizi endelevu ya ardhi ya kijiji ili kuepusha migogoro ya ardhi ndani ya vijiji.
  •  Kusimamia uendelezaji wa makazi maeneo ya mijini ikiwa ni pamoja na uandaaji wa michoro ya mipango miji na kusimamia upimaji wa viwanja kupunguza migogoro ya ardhi.
  • Kusimamia utoaji wa vyeti vya ardhi ya kijiji katika vijiji vyote 146 ili vijiji kuwa na uwezo kisheria kusimamia ardhi ya kijiji.
  • Kusimamia utoaji wa elimu ya sheria za ardhi No. 4 na No. 5 ya mwaka 1999, Sheria ya mipango miji ya mwaka 2007,sheria ya mipango ya matumizi bora ya ardhi No.6 ya mwaka 2007, sheria ya ufugaji nyuki, Misitu na wanyama pori.
  • Kusimamia umilikishaji wa ardhi kwa viwanja vilivyopimwa na utoaji wa hati miliki za kimila kwa wananchi ili kuwa na usalama wa milki zao.
  • .Kusimamia uthamini wa ardhi kwa madhumuni mbalimbali kama vile mauziano, ulipaji wa kodi ya ardhi, mizania , bima na rehani kuwezesha serikali kupata mapato.
  • Upimaji wa mipaka ya Vijiji ampapo vijiji 89 kati ya vijiji 146 mipaka yake imepimwa ambayo ni sawa na asilimia 66 ili kupunguza migogoro ya mipaka ya vijiji
  • Kusimamia utekelezaji wa sera, taratibu , kanuni na sheria za ufugaji Nyuki, Misitu, wanyama pori na ardhi.
  • Kuanzisha, kuendeleza na kusimamia raslimali za Nyuki na Misitu zilizopo kwenye ardhi ya hifadhi na ya jumla.
  • Kamati za mazingira katika vijiji 21vinavyozunguka msitu wa Geita na Ruande zimeanzishwa ili kushiriki uhifadhi wa raslimali za misitu. Jumla ya miti 2,654, 213 imepandwa na kutenga maeneo ya uoto wa asili yenye ukubwa wa hekta 950 ili kuhifadhi mazingira

Utekelezaji wa Majukumu ya Idara kwa kipindi cha 2015/16 mpaka 2016/17

  • Halmashauri ya Wlaya imeandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa vijiji vya Igate,Kakubilo, Lwenge, Kasota, Kifufu,Lwezera, Kaseme, Kagu na Nyakagwe
  • Halmashauri ya Wilaya tayari imetayarisha vyeti vya ardhi ya kijiji kwa vijiji 60.
  • Viongozi wa Kata ya Katoro na Halmashauri za vijiji vya Igate,Kakubilo, Lwenge, Kasota, Kifufu,Lwezera, Kaseme, Kagu na Nyakagwe wamepewa Elimu ya Sheria ya ardhi N04 na N0 5 ya mwaka 1999. Pia vijiji 23 vinavyozunguka misitu vimepewa Elimu ya hifadhi ya mazingira.
  • Hatimiliki za Kimila 149 za Shule na Zahanati zimeandaliwa
  • Vijiji 89 kati ya vijiji 146 mipaka yake imepimwa ambayo ni sawa na asilimia 66 ili kupunguza migogoro ya mipaka ya vijiji
  • Manzuki 17 yameanzishwa na vikundi 17 vya ufugaji nyuki vyenye jumla ya mizinga ya kisasa 1377 katika vijiji vya Kasota, Lwenge,Isamilo, Mshinde. Kifufu, Mgusu, Nyakabale, Msasa, Ikina, Mwenegeza, Nyamwilolelwa Buhangizi, Bufunda, Kaduda, Chibingo, Bugulula A na B, na Kaduda
  • Elimu endelevu ya ufugaji wa nyuki imeendelea kutolewa kwa vikundi 17 na wananchi wenye uelekeo wa ufugaji wa Nyuki ili kuvijengea uwezo.
  • Jumla ya miti 2,654, 213 imepandwa na kutenga maeneo ya uoto wa asili yenye ukubwa wa hekta 950 ili kuhifadhi mazingira.

 Changamoto

  • Serikali za Vijiji kutoshiriki kikamilifu katika suala zima la usimamizi shirikishi wa Misitu kutokana na kunufaika na raslimali zilizomo kinyume na sheria.
  • Ukosefu wa utamaduni wa upandaji wa miti kwa upotofu kuwa, kupanda miti watazalisha mbung’o ambao wataathiri mifugo yao.
  • Uelewa mdogo wa sheria ya ardhi, Nyuki, Misitu, wanyamapori na Mazingira huleta migogoro mbalimbali ya ardhi,
  • Kugawanyika kwa vijiji na mabadiliko ya uongozi wa vijiji

Mikakati ya kukabiliana na changamoto

  • Idara imeandaa mpango shirikishi kwa wananchi kuchangia gharama za uendelezaji wa makazi Katoro.
  •  Elimu ya sheria ya ardhi,sheria ya mazingira, na sheria ya misitu inaendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita. Halmashauri za vijiji zimeshirikishwa katika ulinzi wa raslimali za misitu na nyuki. Wachimbaji wadogo wa madini wamehamasishwa kutumia zana bora wakati wa uchimbaji.

Tangazo

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA IMETOA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA INAKUTANGAZIA UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA MTAKUJA KATIKA MAMLAKA YA MJI MDOGO WA KATORO June 15, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA IMETOA TANGAZO LA KUWAITA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VIJIJI NA MADEREVA June 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI GEITA DC July 08, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YAWAKUMBUKA AKINA MAMA WALIOJIFUNGUA NA WAFUNGWA WANAWAKE

    March 07, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 87.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    January 24, 2023
  • GEITA DC YAWEKA KAMBI KATIKA KATA YA NYARUGUSU KUTOA MSAADA WA KISHERIA

    December 14, 2022
  • DC SHIMO ATAJA UMOJA NA MSHIKAMANO KUWA NGUZO KUU YA MAENDELEO TUNAPOSHEREHEKEA MIAKA 61 YA UHURU

    December 07, 2022
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa