• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

Posted on: May 10th, 2025

Wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania Mkoa wa Geita (ALAT) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mhe. Vicent Busiga leo Mei 10,2025 wamefanya ziara ya kukagua miradi katika Jimbo la Busanda Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Wakiwa katika Kata ya Ludete, ALAT Mkoa wa Geita wametembelea mradi wa Ujenzi wa miundombinu ya upanuzi wa Shule ya Sekondari  Lutozo.

Ujenzi wa Mabweni na Madarasa katika shule hiyo utaiwezesha shule hiyo kutoa elimu ya Kidato cha tano na Sita. Mradi   huo una  thamani ya Shilingi Milioni 372 fedha kutoka mfuko wa SEQUIP.

Wajumbe wa ALAT Mkoa wa Geita wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Shule ya Sekondari Lutozo inayaotarajiwa kupokea wanafunzi wa Kidato cha Tano Julai 2025

Vilevile  wajumbe hao wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Jengo la wodi ya wanaume, wodi ya Wanawake,  wodi ya watoto, jengo la kuhifadhia Maiti, uzio wa Hospitali,  Nyumba ya Mtumishi na ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura (EMD) katika Hospitali ya Wilaya Katoro iliyopo  Kata ya Ludete mradi  wenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.2.

Wakiwa katika Hospitali hiyo, Wajumbe  wamempongeza Mkurugenzi Mtendaji Ndg Karia Rajab Magaro kwa usimamizi mzuri wa fedha za Miradi.

" Tuwape maua yao ofisi ya Mkurugenzi na Idara ya Afya kwa usimamizi mzuri wa mradi " Amesema Mjumbe wa Kamati hiyo Mhe Batholomeo Manunga ambeye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato.

Ujenzi wa Hospitali hiyo ni matokeo ya ahadi ya aliye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliposimama kuwasalimia wananchi wa Buseresere Mkoani Geita na kuahidi kutoa  Kiasi cha Shilingi Bilioni 1.5.

Mradi wa Ujenzi wa Jengo la wodi ya wanaume, wodi ya Wanawake,  wodi ya watoto, jengo la kuhifadhia Maiti Hospitali ya Wilaya-Katoro umetembelewa na Wajumbe wa ALAT Mkoa wa Geita ambapo wamepongeza hatua za Mradi huo na Kuitaka Halmashauri kukamilisha taratibu zote mapema ili Majengo hayo yaanze kutumika

Pamoja na mambo mengine wajumbe wa ALAT wamempongeza Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe, Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha nyingi za miradi ya maendeleo.

Jumuiya hii ilianzishwa tarehe 13 Desemba, 1984 mara baada ya kurejeshwa kwa Mfumo wa Serikali za Mitaa kwa Sheria Na. 7 na 8 za mwaka 1982 ambapo hujumuisha Halmashauri zote za Wilaya na za Miji, Miji Midogo na Vijiji Tanzania Bara.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. June 05, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. WASIRA: AJENDA YA SERIKALI NI KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI.

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAPATA HATI SAFI, MHE. FATMA APONGEZA USIMAMIZI WA FEDHA ZA UMMA.

    June 13, 2025
  • UFUATILIAJI WAHIMIZWA KWENYE USIMAMIZI WA MIRADI WILAYA YA GEITA

    June 12, 2025
  • MKURUGENZI ASISITIZA HATUA KUCHUKULIWA KUDHIBITI UTORO SHULENI.

    June 05, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa