• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

TUENDELEE KUMUUNGA MKONO MHE DKT SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA SAFARI YA MAENDELEO-RC SHIGELA

Posted on: March 12th, 2025

Busanda-Geita

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe Martine Shigela, Aprili 12,2025 amefanyaziara katika kata ya Bukoli na Nyarugusu jimbo la Busanda Halmashauri ya Wilayaya Geita.

Katika Ziara hiyo Mhe Shigela amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Bukoli kinachojengwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri chenyethamani ya Shilingi Milioni 400.

Pamoja na Kutembelea Zahanati hiyo Mhe.Shigela ametembela pia mradi wa Bweni la Wasichana lenye uwezo wa kubeba wanafunzi 80 katika shule yaSekondari Evaristi iliyopo Kata ya Nyarugusu  mradi unaotekelezwa kupitiamfuko wa maendeleo kwa jamii (TASAF) kwa kushirikiana na wananchi kwa gharamaya Shilingi Milioni 180.7 ambapo asilimia 20 ya mradi ni nguvu za wananchi.

Akikagua miradi hiyo Mhe Mkuu wa Mkoa ameonyesha kufarijika kwanamna ambavyo Halmashauri inatekeleza miradi hiyo.

" Safari ya Maendeleo ni safari isiyosimama, Serikaliitaendelea kuboresha huduma katika vituo vya afya ikiwa ni pamoja na kuboreshamiundombinu ya barabara, tuendelee kumpa ushirikiano Mhe Dkt Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo analetaMaendeleo" Amesema Mhe Shigela.

Maendeleo ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Bukoli kinachojengwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri chenye thamani ya Shilingi Milioni 400.


Mradi wa Bweni la Wasichana lenye uwezo wa kubeba wanafunzi 80 katika shule ya Sekondari Evaristi iliyopo Kata ya Nyarugusu  mradi unaotekelezwa kupitia mfuko wa maendeleo kwa jamii (TASAF) kwa kushirikiana na wananchi kwa gharamaya Shilingi Milioni 180.7

Pamoja na hayo Mhe Shigela amesikiliza kero mbalimbali za wananchizikiwepo kero za miundombinu ya barabara,  elimu, maji, umeme, wanufaikawa fedha za TASAF na kuzitolea majawabu ambapo amewaagiza wakuu wa Taasisimbalimbali alizoambatana nazo kushughulikia changamoto za wananchi.

Wananchi wakitoa Kero kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe Martin Shigela wakati alipofanya Mkutano wa Hadhara kusikiliza kero mbalimbali za Wananchi

Katika Ziara hiyo Mhe Mkuu wa Mkoa aliambatana na  viongozimbalimbali wakiwepo Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mkurugenzi Mtendaji , KatibuTawala wilaya na Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Taasisi, Halmashauri yaWilaya ya Geita pamoja na Kamati za ulinzi na usalama


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa