• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Watakiwa kuzingatia Maadili ya Utumishi wa Umma

Posted on: October 5th, 2019

Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Halmashauri,Kata,Vijiji pamoja na Waandikishaji  wapiga kura , Wametakiwa kufuata na kuzingatia kanuni za utumishi wa Umma katika zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa ili kuepuka vurugu na kutoweka kwa amani katika uchaguzi huo.

Akizungumza katika Semina ya mafunzo elekezi  ya uchaguzi wa serikali za mtaa iliyowahusisha wasimamizi wasaidizi  ngazi ya kata,kijiji,Halmashauri na waandikishaji wapiga kura ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita,Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Geita Ndugu,Ali Kidwaka amesema Halmashauri haitawavumilia wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi watakao enenda kinyume na taratibu na kanuni za uchaguzi.

Wakati huo hakimu mkazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Hakimu Kiiza Sostenes amewatahadharisha wasimamizi wasaidizi hao kutovunja kiapo walicho hapa kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria na watachukuliwa hatua.

Kwa upande wa washiriki wa mafunzo hayo elekezi wamesema uchaguzi wa mwaka huu wa Serikali za Mitaa unaishara ya utulivu na watazingatia sheria na miongozo ya uchaguzi.

Jumla ya wasimamizi wasaidizi 814 kutoka ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameshiriki katika semina hiyo elekezi iliyokwenda sambamaba na kula kiapo ikiwa ni Ishara ya kusimamia uchaguzi kwa haki na weledi katika uchaguzi wa serikali za mtaa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Novemba 24 Mwaka huu.

Tangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAPOKEA TUZO YA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA KIMATAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2023

    September 30, 2023
  • MIRADI YA MAENDELEO GEITA DC YAMRIDHISHA MNEC NADRA RASHIDI

    September 30, 2023
  • DED GEITA AFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA JENGO LA UTAWALA LA GEITA DC

    September 26, 2023
  • GEITA DC WAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUPITIA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI

    September 23, 2023
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa